Harmonize - Kainama Text

Songtext zu Kainama


Konde Boy!
They call me Burna...
It's Platnumz!

[Burna Boy]
Eeeh eeh eeh eeeh
Are you dey make me sit down dey sing this song (dala dala)
You can't dey make me feel like I do you wrong (jaga jaga)
If you want I might go give you more (jala jala)
Today today, you go give me love (sawa sawa ooh)

Eeeh eeeh
Nasifiwa kwa mapenzi na mademu

Wanapagawa mpaka wananiita handsome
Burna Boy, twaeka kila sehemu
Wanapagawa mpaka wananiita handsome

Nasifiwa kwa mapenzi na mademu
Wanapagawa mpaka wananiita handsome
Konde Boy, twaeka kila sehemu
Wanapagawa mpaka wananiita handsome

[Harmonize]
Hadi kaburu kwa mandera
Rudi kwa bibi kinondoni
Amber Lulu kunja dera
Mwanangu Gigi simuoni, aje!

Aah inama (mama)
Aah inuka (baby show them)
Aah inama (hehehee)
Aah shika ukuta (waonyeshe ulivyofunzwa)
Aah inama (ah hii, go down baby)

Aah inuka (give it to them baby)
Aah inama (heeehe)
Aah shika ukuta (ruksa kutunza)

Sio sura sio shepu, mi nikimuona taabani
Hivi si Nuna, Sepetu, Ama nimuite jina gani?
Baby gyal your body killer (wee)
Mwendo kama caterpilar
Miguu ya pombe Tequila
She dey bust my mind
Ba mutu ba Congo kabila
Madongo lunyamila
And she so sweety, Vanilla
She dey bust my mind (oh oh oh)
Nobody sexy like my baby (mmmh)
Tena mwepesi akiwa kwa bedii

Hadi kaburu kwa mandera
Rudi kwa bibi kinondoni
Amber Lulu kunja dera
Mwanangu Gigi simuoni, aje!

Aah inama (mama)
Aah inuka (baby show them)
Aah inama (hehehee)
Aah shika ukuta (waonyeshe ulivyofunzwa)
Aah inama (ah hii, go down baby)
Aah inuka (give it to them baby)
Aah inama (heeehe)
Aah shika ukuta (ruksa kutunza)

[Diamond Platnumz]
Oya gyal dem, toto nyaupole
Ana vimacho mlegezo gololi
Katika game, funga tu goli
Hatumalizagi mchezo ukae goli

Kilima kilima (panda kilima), baby kilima (chii)
Kisima kisima (mamba kisima), naingia kisima
Nizame mpaka chini (ooooh)
Ebu, yaani katoto kachafu kama bata (eeeh)
Ah ah, nami nakafanya ndafu nakang'ata

Salamu ziende kwa Wanjala
Doni Masha, kitasa kwenye bunyeru
Waambie simba kacharara
Anataka msambwanda kwa buku jeru, aje!

[Harmonize]
Aah inama (mama)
Aah inuka (baby show them)
Aah inama (hehehee)
Aah shika ukuta (waonyeshe ulivyofunzwa)
Aah inama (ah hii, go down baby)
Aah inuka (give it to them baby)
Aah inama (heeehe)
Aah shika ukuta (ruksa kutunza)

[Burna Boy]
Eeeh eeeh
Nasifiwa kwa mapenzi na mademu
Wanapagawa mpaka wananiita handsome
Burna Boy, twaeka kila sehemu
Wanapagawa mpaka wananiita handsome

[Diamond Platnumz]
Nasifiwa kwa mapenzi na mademu
Wanapagawa mpaka wananiita handsome
Simba, Mabishoo huniita sehemu
Vile mademu zao nawapita handsome

Konde Boy!


Harmonize - Kainama Songtext

Harmonize - Kainama Lyrics Harmonize - Kainama Text Harmonize - Kainama Liedtext

Noch keine Übersetzung vorhanden. Musik-Video-Miniaturansicht zu Kainama Songtext von Harmonize

Video zum Kainama


Kainama Songtext von Harmonize


Andere Songtexte und Deutsche Übersetzungen

von Harmonize

Beliebt Lyrics

Jethro Tull - Hunting Girl Songtext

Jethro Tull - Hunting Girl

Songtext & Übersetzung
DIRE STRAITS - Down To The Waterline Songtext

DIRE STRAITS - Down To The Waterline

Songtext & Übersetzung

Beliebt Neu Songtexte